Picha ya Billnass na Nandy
"Nikiangalia kumbukumbu zetu nalia tu, Aaaaaaarg bwana me nimekubali tunapendana huu mwezi safari yetu inahitimishwa na Mungu, na ikawe kheri nakupenda mwenzio" ameandika Nandy
Ikumbukwe msanii wa filamu Steve Nyerere ndio ametajwa kuwa Mwenyekiti wa kamati ya ndoa yao.