Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Saida Karoli awachana wenzake.

Jumanne , 12th Sep , 2017

Msanii wa muziki wa kike kutoka Tanzania Saida Karoli, ambaye sasa amerudi kwa kishindo baada ya kimya kirefu amewatolea uvivu wasanii wachanga wa kike wenye tabia za kujikweza na kujiona bora zaidi ya wenzao, na kusema tabia hiyo inakera kila mmoja.

Saida Karoli

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Saida Karori amesema tabia hiyo haifai kwani bado wana safari ndefu kwenye muziki, hivyo wasipokuwa makini watakosa hata watu wa kuwaokota pale ikitokea wakianguka.

"Kwa kweli hilo suala ni kero, na siyo tu kwangu, ni kero kwa ujumla, na siyo nzuri kwa sababu inasababisha mtu unashuka ghafla, mtu unapokuwa na upendo halafu hujisikii, wale uliokuwa ukiongea nao siku za nyuma ndiyo wanaku-suport kukubeba unapoanguka, hiyo ni tatizo kwao", amesema Saida Karoli.

Kwa muda mrefu Saida Karoli alikuwa nje ya 'game', lakini sasa amerudi huku akiwa ameachia kzi mpya mbili, na yuko mbioni kufanya collabo na msanii Eddy Kenzo wa Uganda.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava