Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shilole amtaka Nay wa Mitego kuacha tabia hii

Jumanne , 7th Jan , 2020

Msanii na mfanyabiashara Shilole, amefunguka na kusema Nay wa Mitego ana utamaduni wa kuwachana watu kwenye nyimbo zake, ila anatakiwa abadilishe aina ya muziki, aache kuchamba watu azungumzie nyimbo zinazohusu jamii.

Kwenye picha ni Shilole na Nay wa Mitego

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital Shilole amesema, endapo Nay wa Mitego atam diss kwenye nyimbo zake atamwambia kuwa hataki mambo hayo kwa sababu yeye sio mtu wa HipHop.

"Nay wa Mitego ile ndiyo tamaduni yake tangu ameanza kuimba, huwa ana diss tu, kwahiyo ndivyo alivyo na huo ndio uhalisia wake, hatujawahi kumuona amebadilika na kuimba muziki mwingine anadhani huko ndipo pa kutokea, lakini anatakiwa abadilishe aina ya muziki aache kuchamba watu na aanze kuimba nyimbo ambazo zinazungumzia jamii" ameeleza Shilole.

Aidha Shilole ameongeza kuwa kama kuna msanii ambaye itamuuma endapo akizungumziwa na Nay wa Mitego kwenye nyimbo zake, basi amfuate amwambie, kama yeye alivyowaambia Rostam.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto