Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shindano la Dance100% lifike mikoani - Jokate

Jumatano , 28th Sep , 2016

Mrembo Jokate Mwegelo ameshauri shindano la Dance 100% lijalo lifike mikoani ili kuweza kupata vipaji vingi zaidi kuliko ilivyo sasa ambapo vijana wanaopenda kushiriki hulazimika kuja Jijini Dar es salaam.

Jokate Mwegelo

Jokate ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam aliposhiriki kutazama fainali za Dance100% zilizofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mamia ya watizamaji.

“Ni mara yangu ya kwanza kushuhudia shindano hili nilikuwa sujui kama huwa linapendeza na kuvutia namna hii, kumbe kuna vipaji vingi sana vipo mtaani kama hapa hali niliyoiona ndiyo hii” Amesema Jokate.

Jokate ameongeza kuwa kama shindano la Dance100% litafika mikoani litaifanya jamii kuwa na muamko zaidi na kuwafanya vijana kujumuika pamoja na kufahamiana kupitia shindano hilo.

Shindano la Dance100% kwa mwaka huu limemalizika na matukio yote yataoneshwa siku ya Jumapili saa moja jioni kupitia EATV.

Aidha mwaka huu kundi la Team Makorokocho liliibuka na ushindi na kujinyakulia kitita cha milioni saba jambo ambalo limeongeza hamasa ya mashindano hayo kwa vijana wengine nchini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto