Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Sikwenda kanisani kutafuta kiki' - Gigy Money

Jumamosi , 19th Oct , 2019

Msanii Gigy Money ameimbia EATV & EA Radio Digital, kuwa tukio lake la kwenda kanisani hakuwa anatafuta kiki kama watu walivyoshangaa na kulizungumzia, pia amefunguka kuhusu kudhalilika wakati akiwa kwenye siku zake kama mwanamke.

Gigy Money

Akizungumzia kuhusu tukio lake la kwenda kanisani, ambalo liliwachanganya watu wengi hasa baada ya ku'post' picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram Gigy Money amesema, watu wasimkariri kwenye maisha haya.

"Acheni kunikariri jamani msifanye mnanijua sana, kwa hiyo hapo kanisani mnataka aende nani nisingeenda mnasema nimeenda mnasema, ila mimi nafanya imani yangu inavyotaka nifanye, kwenda kanisani ni mtu yeyote anaenda kwa anayetambua wajibu wake kama binadamu" amesema Gigy Money.

"Kanisani naenda sio kwamba mimi ni mlokole ambaye nashinda kanisani, naenda kumuomba mungu pale napota nafasi mimi ni Mama, msanii na kioo cha jamii labda nikionekana kuna muda naonekana natafuta kiki" ameongeza
Aidha Gigy Money amegusia suala la kutokwa na damu nyingi, kipindi akiwa katika siku zake kama mwanamke.

"Nilikuwa nasumbuliwa sana nikiwa katika "Period" zangu na nilikuwa nikivaa pedi damu yangu nyingi ilikuwa inatoka nje, hedhi yangu ilikuwa inaonekana nilikuwa nadhalilika, ni changamoto iliyonikuta wakati nasoma shule na nilitamani iwe likizo likinikuta tatizo hilo" ameeleza.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu