Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Sitaki shetani anisogelee' - Hawa Ntarejea

Jumamosi , 12th Oct , 2019

Msanii wa BongoFleva nchini, Hawa ameonekana kujutia kitendo cha kukaa nje ya muziki kwa muda mrefu, wakati anasumbuliwa na matatizo ya afya, ambapo amesema kwasasa muziki umekuwa kama vita.

Picha ya msanii Hawa Ntarejea

Hawa Ntarejea ameeleza hayo kwenye kipindi cha Friday Night Live "FNL" ya EATV, wakati anatambulisha video ya wimbo wake mpya uitwao Shagala bagala.

"Naona muziki ni vita nina muda mwingi sana nimepoteza kutokuwa kwenye 'game', mimi naamini kila mtu ana kitu chake, halafu shabiki zangu lazima nitakuwa nao na sifanyi kwa sababu wengine wanafanya, nisije nikavunjika moyo moja kwa moja maana kila mtu ana nafasi yake" amesema Hawa.

Hawa ameendelea kusema, watu wasitarajie kumuona akirudi kwenye masuala ya utumiaji wa pombe na madawa ya kulevya kwa sababu ameshajiahidi yeye mwenyewe, kwamba shetani asimsogelee na asirudi kule alipotoka maana atapotea. 

Aidha Hawa amesema kuwa huenda asingepitia  matatizo, sasa hivi angekuwa mbali ila anamshukuru Mungu kwa mapito ambayo yamemtokea na anaamini kuna mambo mengine ameyaepuka kutokana na aliyopitia, hata mama yake sasa hivi amependeza na kunawiri sio kama zamani, alivyokuwa na mawazo wakati anasumbuliwa na maradhi.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu