Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Snura atetea sanaa sio uhuni

Jumapili , 21st Mei , 2017

Muimbaji na Muigizaji bongo, Snura Mushi amewataka wazazi kutowabana watoto wao kufanya sanaa kwa kuhofia ni uhuni na kudai tabia hizo ni hulka ya mtu na sanaa ni kazi kama zinginezo zinazowez kum,patia kipato kizuri na akaishi vizuri.

Snura amefunguka hayo kwenye Story tatu ya Planet Bongo na kusema kwamba uhuni ni tabia ya mtu mmoja mmoja na siyo sanaa nzima huku akidai kwamba wenye tabia hizo hata kama wasingekuwa wasanii uhuni wangeufanya kwenye biashara zingine zozote.

Snura ameendelea kutetea sanaa na kusema kwamba yeye binafsi amefanikiwa kuendesha maisha yake kwa kutumia sanaa huku akimlea mama yake pamoja na familia yake huku akitoa zaidi mifano ya kwamba wasanii wengi wamekuwa msaada kwenye familia zao kwa kupitia sanaa.

Katika hatua nyingine Snura amewaasa wasanii wachanga wanaotaka kujiingiza kwenye sanaa, waingie na kutafuta pesa na siyo kujiingiza kwenye makundi ya kihuni ambayo mengi yanasura ya kuchafua tasnia ya sanaa.

Msikilize Snura hapa chini akifunguka kutetea sanaa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava