Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Steve Nyerere ampa onyo Wema Sepetu kwa Carlinhos

Ijumaa , 23rd Oct , 2020

Msanii wa filamu Steve Nyerere ameendelea kumuonya staa mwenziye wa filamu Wema Sepetu kuhusiana na ukaribu wake na mchezaji wa klabu ya Yanga Carlinhos kwa kusema anawaharibia wachezaji.

Staa wa filamu Wema Sepetu na mchezaji wa Yanga Carlinhos

Steve Nyerere ameeleza hilo baada ya kusambaa kwa picha mitandaoni kati ya Wema Sepetu na Carlinhos ikiwaonyesha wakiwa pamoja.

"Uongozi wa Yanga popote mlipo mtatua mashabiki wenu jamani, tunanunua mchezaji kwa bei kubwa, tunampokea uwanja wa ndege kwa mbwembwe, dakika ya mwisho hali ndiyo hii, tafadhali kuhujumu uchumi sio kuiba hela tu hata hili mnaloliona, kuna watu watawajibika Wema Sepetu endelea nakwambia" ameandika Steve Nyerere 

Aidha Steve Nyerere ameongeza kuwa "Unatuharibia mchezaji mimi kwa hili na huo udugu utakufa wallah, nakwambia tena huoni bado mtoto huyu sasa hivi utasikia gauti gauti, wana Yanga sio la kucheka hili mtoto anapotea huyu"

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava