Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Steve Nyerere amvaa tena Peter Msigwa

Ijumaa , 7th Feb , 2020

Msanii maarufu wa filamu hapa nchini Steve Nyerere, ametangaza nia yake ya kugombea Ubunge katika jimbo la Iringa mjini baada ya kupokea maombi mbalimbali kutoka kwa vijana wenziye pamoja na marafiki.

Kushoto pichani ni msanii wa filamu Steve Nyerere, kulia ni Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa

Steve Nyerere ametangaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, ambapo ameandika.

"Iringa ya leo ni maendeleo kwanza na inahitaji vijana wachapakazi, rasmi nitagombea Ubunge Iringa Mjini ni haki yangu kurudi nyumbani, siku ya Jumatano nitakuwa na kikao cha ndani na vijana wa Iringa ahsante" amesema Steve Nyerere.

EATV & EA Radio Digital, imefanya mawasiliano na msanii huyo wa filamu na ameeleza kwa kina kwa nini ameamua kugombania Ubunge Iringa Mjini ambapo amesema,

"Nina dhamira ya kweli ya kugombania Ubunge katika Mkoa wangu, naijua vizuri Iringa kuliko watu walivyoisoma, hatutaki tena kuwatuma watumishi wazee ambao wanatafuta pesa ya pensheni, tunataka vijana wenye kuijua Iringa na lazima wanitume mtu kama mimi" amesema Steve Nyerere.

Pia ameendelea kusema "Mimi ni mkubwa najulikana nchi nzima na Afrika Mashariki yote, huwezi kunifananisha na Peter Msigwa anayejulikana mwisho Tosamaganga na Mahenge, nina uwezo na juhudi, labda aje kuniomba msamaha na anatapatapa anataka kushindana na watu na wake za watu atarudi kwenye Uchungaji".
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava