Picha ya pamoja ya Prof Jay na Mr II Sugu
Kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio Sugu anasema
"Tupo in-touch kama familia na anaendelea vizuri, kitu kizuri ni kwamba yeye mwenyewe (Prof Jay) yupo kwenye spirit ya kupambana, ukishakuwa kwenye spirit ya kupambana hata mwili wenyewe unajiandaa kupokea matibabu".
Planet Bongo ni kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 7:00 mchana mpaka 10:00 jioni.