Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TID asumbuliwa na jina lake, ageuka kinyonga

Ijumaa , 22nd Feb , 2019

Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Khaled Mohamed, Maarufu kama TID amekataa kuitwa jina la 'Mnyama' ambalo alianza kutumia miaka kadhaa iliyopita.

TID ambaye anajulikana kwa majina mengi yakiwepo, Kigogo, Warioba, Mnyama na mengineyo amesema chanzo cha kulikataa jina lake hilo ni kutokana na  kwamba watu wengi wameanza kulitumia.

"Naitwa TID kuanzia leo sitaki kuitwa mnyama kila mtu nae kawa mnyama sasa hivi, sina unyama wowote 'I am a changed Person'. Niiteni 'Top' tu kama zamani 'pliz' tusije gombana mimi sio mnyama, niko binadamu tu", ameandika TID katika ukurasa wa Instagram.

Machi 2017, TID alilikataa rasmi jina la TID, ambalo ndilo lililompatia umaarufu na kupendekeza aitwe jina lake alilopatiwa na wazazi wake au 'Mnyama' kwa madai kwamba wanaopaswa kumuita jina hilo ni watu wa mikoani tu.

"Sitaki watu waniite TID, niite Mnyama nikiwa mtaani mimi ni Khalid, jukwaani ndiyo TID. Tatizo jina la Top in Dar limekuwa 'too casual' sana mpaka nachukia. tuwaachie watu wa mikoani huko ndiyo waniite TID lakini wa hapa mjini we ukinisalimia niite tu Khalid inatosha", alisema TID.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji