Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunda aomba radhi mashabiki kwa tabia ya uzushi

Jumanne , 27th Sep , 2016

Msanii wa bongo fleva Tunda Man amewaomba radhi mashabiki zake baada ya kuwa na skendo ya kuzusha mambo yasiyo ya kweli.

Tunda Man

Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kutangaza kuwa yuko location aki'shoot movie ya “Mama Kijacho”, kwa kudai kuwa yuko pamoja na Riyama Ally na Mboto huku wasanii hao wakikanusha kushiriki katika filamu hiyo.

Akipiga story na eNewz Tunda amesea 'Mimi nilikuwa nikijaribu kulinda idea yangu ya Mama Kijacho isiibiwe na watu wengine, kwa kuwa bado nilikuwa sijalisajili'.

Tunda amesema alizusha uvumi huo ili kuzuia wasanii wengine wasitamani kufanya movie inayofanana na idea yake, lakini pia alitamani kutengeneza movie hiyo ila alidai kuwa alishindwa kutokana na kukosa ushirikiano toka kwa wasanii wengine.

Alisema “Naona watu kama hawanipi ushirikiano, wanaona kama nitapata pesa sana, hivyo nimeamua kuachana nao”.

Lakini pia Tunda hakusita kuzungumzia ngoma yake mpya ambayo alikuwa akiitangaza mitandaoni muda mrefu uliopita inayojulikana kwa jina la Mwanaume suruali, alisema “Video nili'shoot Mombasa lakini yule mtoto ambaye nili'shoot naye alikuwa mke wa mtu na hakutakiwa kuonekana katika video yeyote, hivyo ikanichelewesha kuachia ngoma hiyo”.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava