Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Ukiangalia dini utakosea mambo mengi' - Nedy

Jumatatu , 28th Oct , 2019

EATV & EA Radio imepiga stori na staa wa BongoFleva Nedy Music, ambapo amefunguka kuhusu 'Lifestyle' yake kwenye upande wa mavazi, muonekano binafsi na wasanii kupenda kuvaa hereni masikioni.

Akizungumzia issue ya kuvaa hereni au vipuli  kwa wasanii hali ya kuwa yeye ni muislam Nedy Music amesema, sasa hivi ukiangalia dini utakosea vitu vingi vilivyopo duniani.

"Mimi kila kitu nachohisi kinafaa kwangu naweza kukivaa au kukiweka, kwa sababu ukiangalia dini sasa hivi utakuwa unakosea kwa vitu vingi vilivyopo duniani, kwahiyo yote kwa yote ni kuweka sawa tu kama leo navaa cheni kesho sitavaa, ila kawaida kwa msanii au mtu  yeyote anayetaka kupendeza" ameeleza Nedy Music.

Pia Nedy Music amezungumzia suala la kuhusishwa kuchukua nafasi ya  Juma Jux na G-nako Warawara, kwenye upande wa kuvaa kwa sababu wawili  hao wanaaminika kama ndiyo wasanii wanaongoza kwa kuvaa Bongo.

"Mimi sivai kwa ajiili ya kuchukua nafasi ya mtu yeyote yule, bali navaa Nedy kama Nedy nikiamini kwamba, nataka kuvaa vile nakuonekana vizuri kwa watu ambao wanani-support na wanaoniangalia pia".

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava