Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukimtoa Whozu, Lulu Diva ndiyo anafuata" - Marioo

Ijumaa , 3rd Jul , 2020

Kupitia kipande cha video fupi aliyo-post msanii Marioo "Toto Bad" ameeleza kuwa ukimtoa Whozu staa mwingine ambaye anafuatia kwa kuumizwa na kuonewa kwenye mapenzi ni Lulu Diva.

Msanii Marioo upande wa kulia, kushoto ni Lulu Diva

Marioo amefahamisha hivyo baada ya kupata bahati ya kuonana na Lulu Diva ambaye amemuuliza kwanini  ameandika wimbo ambao baadhi ya vitu vinamuhusu yeye.

"Aaaaam Lulu Diva ni moja kati ya mastaa ambao washawahi kuumizwa au kuonewa katika mapenzi tukiachana na Whozu, sasa leo tulipata bahati ya kuonana akawa ananiuliza nimewaza nini mpaka nikaandika huu wimbo maana ndiyo wimbo anauskiliza kutwa nzima kwa hiyo nikawa namuelezea baadhi ya vitu kuhusu wimbo" ameeleza 

Kwa sasa Whozu yupo kwenye mahusiano na video vixen Tunda, na Lulu Diva bado hajaweka mahusiano yake wazi japo awali aliwahi kuhusishwa kuwa na TID, Rich Mavoko na Jaguar.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava