Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Uwoya alitaka kuniharibia ndoa yangu"- Mwijaku

Ijumaa , 9th Aug , 2019

Msanii wa filamu na tamthilia Mwijaku, ameeleza sababu ya yeye kutupiana maneno katika mitandao ya kijamii na msanii mwenzake Irene Uwoya.

Mwijaku amesimulia hayo kupitia EATV & EA Radio Digital baada wawili hao kujibizana kwa maneno katika mtandao kijamii wa Instagram hivi karibuni.

Si unajua sisi wanaume bwana, kabla sijaoa nilikuwa napenda kutongoza,sasa kile kitendo kilinifanya kujichomeka mahali, kwa hiyo kwa ile tabia alitaka kuweka wazi ili kuniharibia ndoa yangu kwa sababu ya kutongoza na kumtongoza na yeye”, amesema Mwijaku.

Aidha Mwijaku ameeleza kuwa Irene Uwoya hawezi kumuharibia kwa sababu kutongoza kwa wanaume ni jambo la kawaida na amekataa kusema kama alikubaliwa au alikataliwa baada ya kumtongoza Irene.

Irene Uwoya aliwahi kumuonya Mwijaku kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kwa akisema kuwa asimfuatilie maisha yake kwa sababu hapendi maneno na ana maovu yake mengi anayoyajua.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto