Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vibandiko vya Wema Sepetu na Hamisa Mobetto

Jumapili , 20th Jun , 2021

Ni headlines za mastaa wawili wa kike hapa nchini Wema Sepetu "Tanzanian Sweetheart" na Hamisa Mobetto ambao wameonekana kuvaa vazi la aina moja kwenye mitupio yao na hata pozi kufanana katika picha walizopiga.

Kulia ni Wema Sepetu, kushoto ni Hamisa Mobetto

Katika mavazi yao wameonekana wote wamevaa nguo nyeupe juu mpaka chini na kutupia kofia inayojulikana kwa jina la kibandiko kwenye vichwa vyao.

Wa kwanza kuvaa vazi la aina hiyo ni Wema Sepetu ambapo alitokelezea nalo kwenye siku ya Uzinduzi wa Album ya Zuchu iliyofanyika siku ya Julai 18 iliyofanyika Mlimani City Dar es Salaam.

Baada ya kumalizika kwa shughuli hiyo Wema Sepetu akapost picha akiwa na vazi hilo na akaandika "Malkia wa usiku wa mwisho, kubali au kataa ndio iko hivyo, nilijua kuwaka jana aisee niligiwa simu mpaka na watu wasiojulikana mkisikia nimetekwa msiogope, nimeona nijisifie maana kama kunijaza mmenijaza wenyewe"

Sasa leo Juni 20, 2021 Hamisa Mobetto naye akatupia tena vazi la aina kama hiyo na picha zake ameshea kwenye page yake ya Instagram kwa kuandika "Kuwa na ujasiri au italiki, kamwe usiwe wa kawaida".

Kiukweli 'Diva's' wote hawa wamependeza sana kwenye mitupio hiyo ila unaweza ukashea comment yako kwamba nani katupia zaidi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa