Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vodacom yatoa somo kwa vijana kuhusu EATV Awards

Jumanne , 13th Dec , 2016

Kampuni ya mtandao wa simu ya Vodacom Tanzania imewashauri vijana hususani wenye vipaji vya sanaa za muziki na uigizaji kutumia jukwaa la EATV Awards ili kutangaza kazi zao kimataifa.

Mkuu wa Mawasiliano VODACOM, Nandi Mwiyombella (wa pili kushoto) akikabidhi tuzo kwa Alikiba katika usiku wa EATV Awards

Vodacom ambao walikuwa ni miongoni mwa wadhamini wa Tuzo za EATV zilizohitimishwa mwishoni mwa wiki, imesema kuwa imeamua kufanya kazi na EATV kutokana na kuamini kuwa kuna mwanga mbele kwa kuangalia mfano katika mashindano ya Dance100% ambayo pia Vodacom inadhamini.

Akizungumza na EATV na EA Radio Mkuu wa Mawasiliano wa Vodacom, Nandi Mwiyombella ambaye alikuwa ni mmoja kati ya waalikwa wa tukio hilo la utoaji tuzo amesema Vodacom imeridhishwa na jinsi shughuli nzima ilivyopangwa na kufanyika na kwa kiasi kikubwa malengo yao yametimia.

Msikilize hapa

Nandi (Katikati) kwa niaba ya Vodacom, akitangaza rasmi kampuni hiyo kudhamini tuzo za EATV katika uzinduzi uliofanyika mwezi Agosti mwaka huu

 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji