Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachungaji wanajua biashara sana - Nikki wa Pili

Jumatatu , 20th Feb , 2017

Rapa Nikki wa Pili kutoka katika kundi la Weusi ameungana na rapa Nay wa Mitego kusema kuwa baadhi ya wachungaji wa makanisa hivi sasa wamefanya makanisa kama biashara na kujiingizia kipato.

Nikki wa Pili

Kwa upande wake Nikki wa Pili anasema wachungaji wanajua sana biashara kwa kuwa wanajua mahitaji ya watu kulingana na wakati jambo ambalo huwafanya wachungaji hao kuja na maombi ya kitu ambacho huenda wakati huo ndiyo hitaji kubwa kwa walio wengi hivyo ni lazima watu wenye hitaji hilo waweze kufika katika madhehebu hayo. 

"Maombi ya kuombea waliokosa waume..wachungaji wanajua biashara sana..wanacheza na mahitaji ya soko" aliandika Nikki wa Pili 

Mbali na hilo Rapa Nikki wa Pili amefunguka na kusema katika muziki hakuna kitu kinaitwa kubebwa bali unatakiwa kufanya kazi kwelikweli ili kuendelea kuwa katika ramani ya muziki kwa muda mrefu, kwani yeye anakaribia kufikisha miaka 10 na hiyo ni kutokana na jitihada zake na kufanya kazi kwa kujituma zaidi.

"Januari mpaka sasa nimesharekodi zaidi ya nyimbo 10, G Nako Warawara amerekodi zaidi ya nyimbo 20 labda ndiyo sababu nakaribia kufikisha miaka 10 kwenye game, muziki hauna bahati wala kubebwa fanya kazi" alisema Nikki wa Pili 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90