Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi awataka wanasiasa kuacha shobo

Jumatatu , 2nd Dec , 2019

Msanii anayefanya muziki wa HipHop Bongo, Wakazi, amewataka wanasiasa nchini Tanzania, kuacha shobo na sio kila jambo lazima walihusishe na masuala yao ya kisiasa.

Pichani ni msanii wa HipHop Wakazi

Kupitia 'post' aliyoiweka katika mtandao wa Instagram, baada ya kumalizika kwa pambano la Mtanzania Hassan Mwakinyo, dhidi ya raia wa Uphilipino Arnel Tinampay.

"Mambo ya kuweka siasa kwenye michezo, tutakuwa hatuendelei wala kupiga hatua na  mnatukata stimu wengine, acheni shobo" ameandika Wakazi.

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, Wakazi amesema suala la siasa lisihusishwe na masuala mengine.

"Suala la siasa na shobo nimesema kila wakati wanasiasa huwa wanajihusisha au kuhusika  na mambo hata yasiyokuwa ya siasa na kupenyeza usiasa humo, jambo ambalo linaweza kugawa mashabiki" amesema Wakazi.

Aidha ameendelea kusema  "kwa sababu sio kila mtu anapenda hayo mambo na tukileta siasa kwenye jambo tofauti tutafanya vitu vingine visiendelee, wanasiasa wapunguze shobo sio kila kitu kujipendekeza kwa viongozi wakubwa". 

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji