Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wananionea wivu mwili wangu" - Linah

Jumanne , 29th Oct , 2019

Msanii wa Bongo Fleva, mwanadada Linah Sanga ameibuka na kujibu maoni ya watu wanaomsema mtandaoni juu ya picha mbalimbali za mwili wake anazo'post' katika mtandao wa Istagram, akisema kuwa wanamuonea wivu.

Linah Sanga

Kupitia eNewz ya EATV, Linah amesema kuwa anawashangaa watu wanaomjadili kwa picha zake kwakuwa hajaanza leo kufanya hivyo na picha hizo zinaeonesha mwili wake halisi.

"Namshukuru Mungu ameniumba hivyo, simringishii yeyote ninaonesha nilichojaaliwa na hata kuimba ninaonesha kipaji changu", amesema.

"Mimi kama msanii lazima nifanye 'photoshoot' kila siku kwa sababu ni sehemu ya sanaa yangu kwahiyo ni kitu cha kawaida kwangu", ameongeza.

Aidha Linah amezungumzia kuhusu tetesi za kumfilisi baba wa mtoto wake baada ya kuachana, ambapo amesema kuwa vitu vyote alivyokuwa akifanya kipindi wako pamoja ameachiwa yeye ndio maana wanamuona hafanyi chochote hivi sasa.

Tazama 'interwiew' nzima hapa chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava