Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoto watatu wapotea mazingira ya kutatanisha

Jumamosi , 2nd Nov , 2019

Watoto watatu wakiwamo wawili wa familia moja wamepotea katika mazingira ya kutatanisha katika kijiji cha Kalonge, kata ya Ibwera, halmashauri ya Bukoba vijijini, mkoani Kagera.

Tukio la watoto watatu kupotea mkoani Kagera

Leo ni siku ya tano tangu watoto hao watoweke nyumbani kwao Oktoba 28 mwaka huu, na taarifa kutoka kijijini hapo zimedai kuwa walimfuata dada yao aliyeondoka kwenda kuchanja kuni porini, ambaye hata hivyo aliporejea alidai hajawaona.

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amewataja watoto hao kuwa ni Anisia Geofrey mwenye umri wa miaka sita, Byarugaba Prasidius mwenye umri wa miaka mitano, ambao ni wa familia moja waliokuwa wakilelewa na babu yao, huku akimtaja mtoto wa tatu kuwa ni Jamal Kamugisha mwenye umri wa miaka mitatu ambaye ni mtoto wa jirani yao.

Baadhi ya wananchi waliozungumzia tukio hilo wamewataka wazazi kuwa makini na watoto wao kwa kufuatilia mazingira wanayochezea ili kuhakikisha kama wako salama.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali