Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wema Sepetu atoa tahadhari kuhusu kuvaa kigodoro

Ijumaa , 3rd Jul , 2020

Baada ya ku-trend kwa picha zake mitandaoni akiwa na mbunifu wa mavazi Martin Kadinda, Madam wa nchi na Staa wa filamu Wema Sepetu ametoa tahadhari kuhusu mguu yake na suala la kuvaa kigodogoro ili kuongeza ukubwa wa makalio yake.

Staa wa filamu hapa nchini Wema Sepetu

Kupitia picha hizo mashabiki na kurasa za kimbea walimjadili Wema Sepetu kwamba miguu yake ni mibaya na ameongeza kitu mwilini mwake kwani baadhi ya picha anaonekana hivyo na zingine haonekani akiwa hivyo.

"Tahadhari jamani natoa,  sipendi kusemwa miguu yangu maana mwenyewe najijua miguu mizuri, sikubarikiwa sababu hamnioni nikijishirikisha na vitu vya ushindani na mambo za huko chini, ndiyo maana wanasema Mungu hakupi vyote, wengine mnasema ukute miguu zenu ni vitu mbaya sana

Aidha akizungumzia kuhusu kuvaa kigodoro Wema Sepetu ameongeza kusema "Halafu hapo sijavaa kigodoro maana pia nimeona mnasema nimevaa ila waja hamna jema nyie"

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava