Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Young Dee umesahau Password'- Young Killer

Ijumaa , 8th Nov , 2019

Kupitia 'Insta story' ya mtandao wa Instagram, kumekuwa na ubishani wa kutambiana kati ya rapa Young Dee na Young Killer, kuhusu nani awe wa kwanza kuachia nyimbo zao mpya watakazozitoa hivi karibuni.

Kushoto pichani ni Young Dee na upande wa kulia ni Young Killer.

Ubishani huo ulikuwa unafanyika ndani ya studio za Touch Sound, chini ya Producer Mr T-Touch, ambapo Young Dee alinukuliwa akisema,

"Najaribu kumwambia Young Killer asitoe wimbo wake kesho kwa sababu na mimi natoa kesho, nishaweka maandalizi yangu au acha tuziachie tu sisi tumekaa miezi sita  bila kutoa ngoma" amesema Young Dee.

Ikumbukwe tu Young Dee, aliondoka nchini Tanzania na kwenda kuishi Marekani kwa muda wa miezi 6, bila kutoa ngoma huku akionekana akila bata pande hizo.
Aidha kwa upande wa Young Killer amemjibu Young Dee kwa kusema,

"Hapana wewe ndiyo usitoe kwa sababu umesahau namba za siri, mimi ndiyo natakiwa nitoe na tupo kwa wakala T-Touch, namba zangu za siri nazikumbuka wewe zako ushasahau acheni kwanza nitoe, nyie endeleeni kubana msiachie"  ameeleza Young Killer.

Hali hiyo ya kuwa pamoja ndani ya studio hizo za T-Touch, imeashiria kuwa sasa hivi hakuna tena bifu kati yao, kwani kipindi cha nyuma waliwahi kuwa na tofauti kuhusu ni nani mkali zaidi ya mwenzake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto