Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Z Anto amuimbia Lissu

Jumapili , 10th Sep , 2017

Msanii Z Anto amefunguka na kudai ameguswa na tukio lilimpata Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu la kupigwa risasi na watu wasiofahamika hivyo ameamua kuachia nyimbo kwa lengo la kuwakumbusha watanzania kudumisha amani pamoja na kumuombea Lissu

Z Anto amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano maalum na mwandishi wa EATV baada ya kupita muda mchache alipoachia wimbo wake uliopewa jina la tumuombee Lissu. 

"Nimeguswa sana na hili suala la Mhe. Tundu Lissu na nikiwa kama mzalendo ninayeitakia mema nchi yangu nimeona ni bora nitoe nyimbo kwa ajili ya kuwakumbusha na kuwasisitiza watanzania wenzangu tuendelea kumuombea dua Mhe. Lissu", amesema Z Anto.

Pamoja na hayo, Z Anto ameendelea kwa kusema "ikiwa wabunge kwa pamoja waliweza kutoa nusu ya posho zao za kikao cha siku kimoja kuweza kumsaidia Lissu kwa ajili ya matibabu nami kwa upande wangu nikaona siyo vibaya kutoa nyimbo kama sehemu ya mchango kwake ili kwa pamoja watanzania tuungane kumuombea dua kwa sababu tukio lilimtokea siyo la kawaida.  Huu wimbo siyo wa kisiasa wala chama fulani ila ni wa kila mtanzania", amesisitizia Z Anto.

Kwa upande mwingine, Z Anto amewataka wasanii wenzake  wawe na moyo wa uzalendo kwanza ili kuweza kudumisha na kutangaza amani ya nchi.

Kama hujapata bahati ya kusikiliza wimbo huo bonyeza hapa chini kusikia alichokiimba Z Anto kuhusu Mhe. Tundu Lissu

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava