Picha ya Zari The Bosslady
Mzaliwa huyo wa Taifa la Uganda anawashukuru mashabiki zake kwa kufikisha idadi hiyo maana sio suala dogo.
"Napenda kuchukua nafasi hii ya kipekee kabisa kuwashukuru vipenzi vyangu wote bila kuwasahau visokolokwinyo maana wao ndio wamejazana hapa kwenye milioni 10, utasema nina serve biriani la Sele Bonge".
"Jamani milioni 10 si mchezo, nasema asanteni sana haya si mapenzi bali ni mahaba ya hali ya juu kabisa nawapenda sana ". ameandika Zari The Bosslady
Zaidi sikia hapa akizungumzia hilo.