Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gabo aiponda 'Bongo Movie' ya sasa

Jumatano , 2nd Nov , 2016

Msanii wa filamu Gabo Zigamba amesema sanaa ya sasa siyo kama ya zamani, na kuna utofauti mkubwa kati ya zama hizo mbili

Gabo Zigamba akiwa Kikaangoni

 

Akijibu maswali ya wananchi kupitia kipindi cha #KIKAANGONI kupitia ukurasa wa facebook wa East Africa Television, Gabo Zigamba amesema sanaa ya sasa ina ujanja ujanja mwingi ingawa inalipa tofauti na ya zamani.

“Sanaa ya zamani ilikuwa ya ukweli lakini haikuwa na maslahi, sanaa ya sasa imekuwa kama ya ujanja ujanja lakini ina maslahi, kwa hiyo sasa hivi tunaweza kuingiza pesa nyingi tofauti na zamani”, alisema Gabo.

Gabo ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kwa kuigiza kwenye lafudhi ya Kimakonde, amesema pamoja na umaarufu alionao, hajajutia kuwa maarufu kwani ameweza kutumia fursa hiyo kujitengenezea pesa zaidi, tofauti na baadhi ya wasanii ambao wamekuwa wakisema wanajuta kupata umaarufu, kwani unawanyima uhuru wa kufanya baadhi ya mambo.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji