Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Hata Wabunge wa CCM, wanafukuzwa Bungeni'- Bonnah

Jumapili , 22nd Sep , 2019

Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kamoli amesema sio Wabunge wa Upinzani pekee, ambao huwa wanafukuzwa Bungeni hata Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi huwa wanapelekwa Kamati ya Maadili, lakini wao huwa hawasemi.

Bonnah Kamoli ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kupitia kurasa za Facebook na Youtube za EATV, wakati akijibu swali juu ya kitu gani ambacho kinamkera sana ndani ya Bunge la sasa, linaloongozwa na Spika Ndugai.

Bonnah Kamoli amesema kuwa "sio Wabunge wa Upinzani peke yake ambao wanafukuzwa hata Wabunge wa CCM na wao wanafukuzwa ambao walileta utovu wa nidhamu, na hata Masele aliombewa msamaha kwa sababu alikuwa tayari kuja mbele za watu kuomba radhi"

"Wapo Wabunge wa CCM wanaofukuzwa na wanapelekwa Kamati ya Maadili, lakini sisi si rahisi kuandika kwenye mitandao kuwa tumepelekwa kwenye Kamati ya Maadili, sema wenzetu ni rahisi jamii kujua, kwa sababu huwa wanaandika wasidhani na sisi hatuna matatizo ila tunaheshimu kanuni za chama chetu." amesema Bonnah Kamoli

Katika kipindi hicho Mbunge wa Segerea Bonnah Kamoli amesema anaimani anaweza akawa Rais anayefuata baada ya Rais wa sasa  Magufuli.

Tazama mahojiano kamili hapo chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava