Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba apewa jina jipya, aitwa "BWANA YULE"

Ijumaa , 28th Oct , 2016

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji amesema Umoja wa Katiba  ya Wananchi UKAWA kwa sasa wanamuita Prof Ibrahim Lipumba ‘Bwana Yule’

Prof. Lipumba

Hiyo ni baada ya kuona amekiuka malengo na mikakati ambayo walikuwa wameiweka kwa pamoja na kuanza kuwagawa wana umoja huo.

“Sisi UKAWA tunamwita Prof Lipumba bwana yule, maana hatujui yupo nyuma ya nani na ana  lengo gani kwa sababu kwa taaluma yake na  haiba yake na anavyofanya sasa hivi haieleweki kabisa” Amesema Dkt. Mashinji

Pamoja na hayo Dkt. Mashinji aliyekuwa KIKAANGONI ya EATV, amesema UKAWA ipo palepale na itaendelea kushirikiana katika kuhakikisha kwamba demokrasia ya kweli inapatikana nchini.

 

Dkt. Vincent Mashinji

Kuhusu madai kuwa CHADEMA inaingilia masuala ya CUF, Mashinji amesema siyo kweli kuwa CHADEMA inaingilia masuala ya ndani ya chama hicho, ndiyo maana haikushiriki kikao chochote cha CUF, lakini inachofanya ni kushauri kuhusu maamuzi ambayo yamekwishaamuliwa na vikao halali vya CUF kama mwanafamilia wa UKAWA.

Aidha Dkt. Mashinji ameongeza kuwa Katiba ya wananchi ambayo ilikwama inatakiwa kufanyiwa kazi upya na hatimaye kuifanya ikubalike kwa kuwa ndiyo suluhisho la mambo mengi yanayoendelea nchini na bila hiyo bado mambo yatazidi kuenda kama tulikotoka.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto