Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Adai wanaume wanawakimbia wanawake wenye gharama

Jumanne , 5th Nov , 2019

Mwanamitindo wa mavazi na urembo hapa nchini, Maza Sinare maarufu kwa jina la Maznat, ameeleza kuwa idadi kubwa ya wanaume siku hizi, wanawakimbia wanawake ambao wanatumia gharama kubwa kwenye kujiremba na kuwaasa wanawake kubaki na urembo wao wa asili.

Maznat ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha MAMAMIA, cha East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 4 kamili hadi saa 6 kamili mchana.

"Kuna mtu ananunua wigi la laki 9, kuna wanaume wanaamua kukimbia kwa sababu ya hizo gharama, kila kitu nawasihi tufanye kwa kiasi, kwa sababu unaweza ukawa na muonekano wa asili na ukawa mzuri sana tu."amesema Maznat.

Aidha Maznat ameongeza kuwa, "Wanaume anajifanya wanapenda wanawake wanaovaa urembo sijui makalio makubwa lakini kamuangalir mtu  anayekwenda kumuoa wengi wao wako uzuri wao wa asili".

Maznat amewataka wanawake kujiamini na kujikubali wenyewe, kutokana na maumbile yao na kwamba wakijikubali wataweza kupata wanaume wenye vigezo sawa na vyao.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji