Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afunga TV kwenye Bodaboda ili kuvutia wateja 

Jumatano , 18th Nov , 2020

Dereva Bodaboda Shomari Ramadhan kutoka Mwenge Jijini Dar Es Salaam, ameamua kufanya ubunifu wa kuweka runinga (Television) kwenye pikipiki yake ili kuvutia zaidi abiria anaowapeleka safari kutumia usafiri wake.

Hii ndiyo Bodaboda yenye TV

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, dereva huyo amesema amefanya kazi hiyo ya bodaboda kwa miaka miwili na TV hiyo ameinunua miezi miwili iliyopita kwa shilingi 130,000 na sasa hivi imeweza kumpatia faida kubwa.

"Nimeamua kufanya ubunifu huu wa kuweka TV ili kuwavutia abiria, muda mwingine nikikaa kijiweni kama nikikosa abiria huwa natulia kuangalia, abiria wengi kwanza huanza kwa kushangaa pili kupenda na kufurahi kwa kusema hawajawahi kuona pikipiki yenye TV pia huniuliza maswali mengi" ameeleza Shomari Ramadhan

Aidha ameendelea kusema TV hiyo inafanya kazi kwa kutumia 'system' za betri la pikipiki wala hajaongezea vitu vingi, na madereva wengi wa bodaboda wanatamani kuwa kama yeye ili kushawishi abiria zaidi.

Zaidi tazama kwenye video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava