Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ageuka mchungaji baada ya kusomewa mashtaka

Jumamosi , 8th Jun , 2019

Mwanaume mmoja ambaye alifikishwa mahakamani kwa kosa la kuiba kitabu cha hundi (cheque) chenye thamani ya shilingi mia mbili na kukitumia kujipatia sh 880,00 za Kenya, ambazo ni zaidi ya milioni 19 za Tanzania kutoka Benki ya Equity, aliushangaza umma

baada ya kigeuza mahakama hiyo kuwa sehemu ya mahubiri.

Mwanaume huyo ambaye alijulikana kwa jina la Steve Gordon Ochieng, amesema kwamba yeye ni mchungaji na kwamba shetani ametumiwa kuharibu huduma, lakini kamwe hatafanikiwa kwani yupo kwenye matengenezo ya kutumiwa na Mungu.

“Mimi ni mchungaji, nguvu za shetani zimeungana kuangusha na kuharibu huduma yangu kabisa, hawatafanikiwa kwa jina la Yesu, kila mmoja ndani ya mahakama hii anatakiwa kuacha dhambi na kutubu, kuutafuta uso wa Mungu na kupata wokovu”, alisikika Mr. Ochieng akihubir mahakamani hapo huku akiwa kizimbani.

Bw. Ochieng ameendelea kwa kusema kwamba licha ya nguvu za kishetani na mkuu wao, wamekusudia kuingilia wito wake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava