Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akata kucha zake baada ya kufuga kwa miaka 30

Alhamisi , 8th Apr , 2021

Ayanna Williams ni mwanamke anayeishi Jijini Texas nchini Marekani, anashikilia rekodi ya kuwa binadaam mwenye kucha ndefu zaidi duniani kwa sasaa na taarifa mpya zinasema amekata kucha hizo baada ya kuwa nazo kwa takribani kipindi cha miaka 30.

Picha ya Ayanna Williams aliyekuwa na kucha ndefu zaidi duniani

Ayanna Williams amesema ameamua kukata kucha hizo kwa sababu amezichoka na anataka kuwa na maisha mapya na sasa ndio muda muafaka wa kukata kucha hizo japo anajua kabisa atazikumbuka sana.

"Nipo tayari kwa maisha mapya najua nitazikumbuka sana ila ni muda wa kwenda sasa na nilikuwa nimezichoka, niwe na kucha au nisiwe nazo nitabaki kuwa Malkia kwa sababu kucha hazinitengenezi mimi japo mimi ndio nazitengeneza, nimefurahi kuzikata na ninatarajia mwanzo mpya" ameeleza Ayanna Williams

Kulingana na rekodi ya 'Guinness World Record' iinasema Ayanna Willims alivunja rekodi ya kuwa binaadam mwenye kucha ndefu zaidi mwaka 2017, ambapo kucha zake zina futi 19 na inamchukua saa 20 kuzisafisha pamoja na chupa mbili za dawa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava