Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alivyokuja nilipata hofu ya maisha"-Mwamy Mlangwa

Jumatano , 15th Jul , 2020

Mjasiriamali wa Kilimo Mwamy Mlangwa, amesema alipata wasiwasi na hofu ya maisha baada ya kuambiwa anataka kutembelewa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Msemaji Mkuu wa Wanawake Maryam Kitosi na Mjasiriamali Mwamy Mlangwa

 

Akizungumza na Msemaji Mkuu wa Wanawake Maryam Kitosi, Mwamy Mlangwa ameeleza kuwa alivyotembelewa alipata hofu ya maisha kwa sababau kutembelewa na Rais sio jambo la kawaida.

"Kuna vitu ukikaa Duniani ukivifikiria unatamani vikutokee ila vikikutokea unapata wasiwasi,  siku alivyonitembelea sikuamini ila najua Mh Rais anapenda vitu vya kilimo na vya kimaendeleo, alivyokuja nilipata hofu ya maisha kwa sababu kutembelewa na Rais sio jambo la kawaida, nashukuru alivyoniona kwenye mitandao ya kijamii, pia aliniambia elimu na uzoefu ninayoitumia nisikae nacho peke yangu" amesema Mwamy Mlangwa

Aidha amesema mwaka huu amejipanga kutia nia kwenye nyanja ya uongozi kuanzia Ubunge wa Jimbo, Ubunge wa viti maalum au Udiwani,  "Mungu akinijaliia nitakuwa miongoni mwa watia nia mwaka huu, nitagombea nikichaguliwa sawa nisipochaguliwa pia sawa, naweza nikipata Udiwani, Ubunge wa Viti Maalum au Ubunge wa Jimbo".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava