Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alivyokuja nilipata hofu ya maisha"-Mwamy Mlangwa

Jumatano , 15th Jul , 2020

Mjasiriamali wa Kilimo Mwamy Mlangwa, amesema alipata wasiwasi na hofu ya maisha baada ya kuambiwa anataka kutembelewa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Msemaji Mkuu wa Wanawake Maryam Kitosi na Mjasiriamali Mwamy Mlangwa

 

Akizungumza na Msemaji Mkuu wa Wanawake Maryam Kitosi, Mwamy Mlangwa ameeleza kuwa alivyotembelewa alipata hofu ya maisha kwa sababau kutembelewa na Rais sio jambo la kawaida.

"Kuna vitu ukikaa Duniani ukivifikiria unatamani vikutokee ila vikikutokea unapata wasiwasi,  siku alivyonitembelea sikuamini ila najua Mh Rais anapenda vitu vya kilimo na vya kimaendeleo, alivyokuja nilipata hofu ya maisha kwa sababu kutembelewa na Rais sio jambo la kawaida, nashukuru alivyoniona kwenye mitandao ya kijamii, pia aliniambia elimu na uzoefu ninayoitumia nisikae nacho peke yangu" amesema Mwamy Mlangwa

Aidha amesema mwaka huu amejipanga kutia nia kwenye nyanja ya uongozi kuanzia Ubunge wa Jimbo, Ubunge wa viti maalum au Udiwani,  "Mungu akinijaliia nitakuwa miongoni mwa watia nia mwaka huu, nitagombea nikichaguliwa sawa nisipochaguliwa pia sawa, naweza nikipata Udiwani, Ubunge wa Viti Maalum au Ubunge wa Jimbo".

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali