Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyejitangaza kuwa na UKIMWI aeleza yanayomkuta

Alhamisi , 19th Mar , 2020

Doreen Odemba ni binti ambaye aliamua kuiweka wazi hali yake ya kiafya ya kuwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI , ameeleza ni kwa namna gani mpenzi wake alivyotaka kumgeuza kuwa kitega uchumi, hali iliyopelekea wao kuachana.

Doreen Odemba, Binti anayeishi na VVU.

Akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ kinachorushwa kila siku ya Jumatatu hadi ijumaa, saa 5:00 Asubuhi hadi saa 6:00 Mchana, Doreen amesema kuwa licha ya kwamba uwazi wake umewasaidia watu wenye maambukizi hayo, ikiwa ni pamoja na wao kujikubali hali zao.

''Nilikuwa kwenye mahusiano lakini hayakuwa sahihi, maana alipoona harakati zangu hizi akaona ni nafasi ya yeye kutoka kimaisha akawa ananililia shida kila siku, mara hana hiki mara kile kwahiyo tukaachana'' - Doreen Odemba.

Doreen Odemba alizaliwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, na aliamua kujitangaza kwa lengo la kudhibiti unyanyapaa kwa watu hao na kwamba kuwa na ugonjwa huo siyo mwisho wa maisha.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava