Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Apatwa na ugonjwa wa kutosikia sauti za wanaume

Jumanne , 12th Mar , 2019

Mwanamke mmoja nchini China amegundulika kuwa na ugonjwa wa ajabu, ambao huripotiwa mara chache sana kwa watu.

Mwanamke huyo ambaye amejulikana kwa jina la Chen, aliamka na kujikuta hawezi kusikia sauti ya mpenzi wake, na kuamua kwenda Hospitali.

Alipofanyiwa vipimo na madaktari, mwanamke huyo aligundulika kuwa na tatizo hilo, ambapo yeye husikia sauti zote kasoro za wanaume tu pekee.

Tatizo hilo linajulikana kwa jina la 'reverse-slope hearing loss', ambao humfanya mtu kusikia sauti zenye 'mawimbi mazito' pekee. Ugonjwa huo hutokea nadra sana, ambapo imetajwa kuwa kati ya watu 13,000, mtu mmoja tu ndiye anayeweza kuwa na hatari ya kukubwa na ugonjwa huo.

Ugonjwa huo unaweza kusababishwa na vinasaba ambapo pia mtu anaweza akawa hajawahi kusikia sauti ya chini mfano ile ya muungurumo wa friji, na asigundue tofauti.

Kwenye kesi ya bi Chen, imegundulika kuwa alikuwa akifanya kazi kupitiliza, na kuufanya mwili wake kuchoka, kukosa usingizi na kumfanya apate msongo wa mawazo uliompeleka kupata tatizo hilo la kusikia sauti za wanaume pekee

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava