Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Atelekezwa na mke baada ya kuibiwa sehemu za siri

Jumatano , 20th Mar , 2019

Mwanamme mmoja wa kijiji cha Mureku eneo la Navakholo kaunti ya Kakamega nchini Kenya anaishi kwa upweke baada ya mkewe kumwacha kwa tetesi kuwa hana sehemu zake za siri.

Alfred Sifuna.

Alfred Sifuna (30) anaishi kwa upweke na uchungu baada ya kuvamiwa na kikundi cha watu alipokuwa barabarani na kumuibia pesa kabla kuzinyofoa sehemu zake za siri na kutoroka nazo huku sababu ya kutendewa unyama huo ukiwa hazijulikani.

"Nilivamiwa nikitoka sokoni na watu ninaowajua, wengine wao ni majirani wangu, walinibeba na kunibana kwa nguvu kisha wakaniibia pesa nilizokuwa nazo kabla yao kunivua nguo na kukata sehemu yangu ya siri ambayo walitoroka nayo sijui kile walichoenda kufanyia." amesema sifuna.

Ameongeza kuwa, "Niliachwa na mke ambaye amehamia sehemu nyingine baada ya kugundua sina sehemu zangu za siri, kwa hivyo siwezi kumtosheleza ipasavyo, nashinda nikitembea na leso kama mtu ambaye ametahiri na sasa naomba serikali pamoja na mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kuingilia kati na kunisaidia kupata haki".

Sifuna anadai kuwa licha ya kuripoti kesi hiyo katika kituo cha polisi cha Navakholo, hakuna hatua zozote za kisheria zilizochukuliwa dhidi ya wahuni hao kwani walikamatwa na kuachiliwa kwa dhamana jambo ambalo limepelekea yeye kutishiwa maisha na watu hao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa