Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aunt Sadaka atoa neno mjadala wa wana Twitter

Jumatano , 3rd Mar , 2021

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa Aunt Sadaka, amesema kuwa ili kuepusha migogoro kati ya Mama mkwe na mkwewe wa kike ni kuhakikisha kila mtu anaheshimu mipaka yake na kwamba kila mmoja wao anayonafasi kubwa kwa huyo kijana wa kiume.

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa, Aunt Sadaka

Hayo ameyazungumza hii leo Machi 3, 2021, kufuatia mjadala ulioibuka mitandaoni siku za hivi karibuni ulioonesha misigano inayotokea pale kijana wa kiume anapoamua kuoa na kuanzisha familia huku mama yake mzazi akionesha kuingilia hiyo ndoa ama kutoelewana na mke wa kijana wake.

"Heshima hailazimishwi wewe huna sababu ya kuniheshimu mimi kama sikuheshimu wewe, kila mtu ajue mipaka yake umeolewa kwa mwanangu una mipaka yako kama mtoto na mimi mama nina mipaka yangu kama mama, unajua jambo ambalo tunashindwa kulielewa na kulikubali ni kwamba mimi Mama siwezi kuwa mke kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa Mama kwa mtoto wangu," amesema Aunt Sadaka. 

Aidha Aunt Sadaka ameongeza kuwa "Kila mtu ana nguvu yake, wewe kama mke una nguvu ambayo mimi kama mama siwezi kuwa nayo hata siku moja kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa na nguvu niliyonayo mimi mama kwa mtoto wangu, mimi nitakuheshimu wewe kama mke wa mtoto wangu na wewe ni lazima uniheshimu kwa vitu viwili kwanza nimekuzidi umri na wewe umekuja umeolewa kwangu".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava