Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV kufanya matembezi ya hisani Kisarawe

Jumatano , 7th Oct , 2020

Katika kuelekea Siku ya Mtoto wa Kike Duniani jumapili hii, East Africa Television (EATV) Limited, kupitia kampeni yake ya Namthamini itafanya Matembezi ya Hisani Kisarawe kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya hiyo Jokate Mwegelo yenye lengo la kuchangia Elimu ya Mtoto wa Kike Wilayani humo.

Mkurugenzi wa Aspire Products & Service company (APS), Janeth Dutu akimkabidhi taulo za kike mtangazaji wa EATV, Tony Albert (T-Bway).

Katika kuunga mkono kampeni hiyo kampuni ya Aspire Products and Service company (APS), imefika ofisi za EATV zilizopo Mikocheni eneo la viwanda Jijini Dar es Salaam na kuchangia msaada wa taulo za kike 200 kama mchango wao katika kampeni hiyo.

Akizungumza baada ya kukabidhi taulo hizo Mkurugenzi wa APS Janeth Dutu amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza ili kusaidia kutimiza ndoto za watoto waliopo mashuleni ambao muda wao wa masomo hupotea kutokana na kukosa mahitaji muhimu ikiwemo taulo za kike kila mwezi.

Nawasihi wadau kujitokeza siku ya Jumapili katika matembezi hayo, lakini pia mnaweza kuleta michango yenu hapa ofisi za EATV, tuhakikishe kwa pamoja tunamuinua mtoto wa kike ili asikose haki yake ya kupata elimu”, amesema Janeth

Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kisarawe ikiungana na EATV na East Africa Radio kupitia kampeni ya NAMTHAMINI inapenda kukukaribisha mdau wa maendeleo kuchangia taulo za kike ama vifaa vingine vya shule pamoja na kushiriki matembezi ya hisani yatakayofanyika Jumapili hii Oktoba 11, 2020 Kisarawe katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava