Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu kuhusu Balbu inayowaka toka 1901 mpaka sasa

Jumamosi , 7th Sep , 2019

Kuna maajabu mengi Duniani na mojawapo ni hili la Taa (Balbu), ambayo inashikilia rekodi ya kuwaka kwa muda mrefu zaidi.

Balbu

Unaambiwa Balbu hiyo inawaka kuanzia mwaka 1901 na inapatikana huko Livermore, California Marekani na kitengo cha Zimamoto kutoka Livermore, ndiyo wamepewa mamlaka ya kuitunza na kuihudumia.

Kwa mwanzo Balbu hiyo inasemekana ilikuwa ikitoa nguvu ya mwanga yenye Watt 40 mpaka 60, lakini kwa sasa inatoa Watt 4 sababu ikitajwa ni kutokana na kukaa muda mrefu na mabadiliko ya teknolojia. 

Balbu hiyo ilitengenezwa  na kampuni ya Shebby Electric na inaelezwa kuwa taa nyingi zilizotengenezwa na kampuni hiyo miaka ya zamani mpaka sasa zinafanya kazi.

Zylpha Bernal Beck anasimulia kuwa Balbu hiyo ilitolewa na baba yake kwa kitengo hicho cha kupambana na moto mwaka 1901 ikiwa ni kama msaada.

Iligunduliwa mwaka 1972 na ripota aliyefahamika kwa jina la Mike Dustan, ambaye alifanya mahojiano na watu walioishi eneo hilo kwa muda mrefu na baadaye aliamua kuwaita watu wa 'Guinness Records' ambao walithibitisha kuwa Balbu hiyo imeweka rekodi ya kuwaka kwa muda mrefu zaidi.

Kwanini inawaka kwa muda mrefu?

Baadhi ya tafiti zilionesha kuwa kuwaka kwa Balbu hiyo kwa muda mrefu kunatokana na namna 'material' yake yalivyotengenezwa ambayo kwa kiasi kikubwa hulinda 'Vacuum' kwa lugha rahisi glassi yake isipoteze unga wake ambao ndiyo huwa chanzo kwa balbu nyingi kuzidiwa na kupasuka.

Balbu hiyo hutembelewa  na watu wengi na kwa sasa kuna kitengo maalum kiliundwa, kwaajili ya kuhakikisha inabaki salama muda wote.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto