Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Faida za kushirikisha wazazi kutafuta mchumba

Alhamisi , 20th Jun , 2019

Tumezoea katika miaka ya hivi sasa kuona vijana wanajitafutia wenyewe wapenzi wao na kisha kuwatambulisha kwa wazazi baada ya kukubaliana.

Mahusiano

Lakini miaka kadhaa iliyopita hakukuwepo na mambo kama hayo kutokana na kukomaa kwa mila na desturi za makabila.

Katika kipindi cha DADAZ cha EATV, imezungumzwa mada iliyohusu umuhimu wa kuwashirikisha wazazi katika namna ya kutafuta wachumba na kufunga ndoa, ambapo mageni, 'Pasto' Naomi Mhamba ambaye ni mzazi na mshauri wa mahusiano amezungumzia kwa kina katika kipengele cha 'Mtu kati'.

Pastor Naomi amesema kuwa ni muhimu wazazi kushirikishwa kwakuwa wamepewa dhamana na Mungu katika kuwalea watoto hadi wanakua. Sababu nyingine ambayo mzazi wanapaswa kushirikishwa ni kutokana na kwamba wanawafahamu watoto wao vizuri kuliko mtu mwingine yoyote.

Mtazame hapa chini akizungumzia sababu zingine ambazo zinaelezea umuhimu wa wazazi kushirikishwa katika mahusiano ya watoto wao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava