Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hakuna mambo ya tuma na ya kutolea"- Prisca

Alhamisi , 4th Mar , 2021

Mwanamke Kinara Prisca Schulter, amesema kuwa utaratibu uliopo nchini Ujerumani kwa wanandoa ni kwamba mume na mke huwa wanashirikiana katika kuhudumia familia kwa kuhakikisha kila mmoja wao anatoa kiasi cha pesa katika kila mshahara wake kwa ajili ya matumizi ya familia.

Mtanzania anayeishi Ujerumani Prisca Schulter

Prisca ameyasema hayo leo Machi 4, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, wakati alipohojiwa kuhusu umuhimu kwa mwanamke kufanya kazi yoyote ya halali ili kuweza kuongeza kipato cha familia na kumsaidia mume wake majukumu ya ndani ya nyumba.

"Huku Ujerumani mke na mume mnakadiriana kulingana na mshahara wa kila mmoja wenu yaani kila mmoja ana wajibu wa kuacha pesa kila mwezi, ukipata mshahara kila mtu anatumbukiza kwa ajili ya matumizi ya kila siku ya familia mfano hii ya ada, kodi na mahitaji mengine," amesema Prisca.

Ameongeza kwa kusema kuwa "Yaani mwanamke anatoa pesa na mwanaume anatoa pesa, huku hakuna yale mambo ya tuma na ya kutolea, huku mnaongea mfano mimi nimeolewa na Mjerumani yeye anatoa pesa yake na mimi natoa pesa yangu kila mwezi na inajulikana".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava