Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hifadhi yatoa ofa ya mende 'Valentine Day'

Jumatatu , 10th Feb , 2020

Maafisa wa kituo cha maonesho ya wanyama cha San Antonio nchini Marekani wametoa ofa kwa mwenye Dola 5 sawa na Sh. 11,550, atapewa Mende ampatie jina la mpenzi wake wa zamani (Ex) na kisha kumlisha mnyama yoyote kwenye siku ya wapendanao 'Valentine Day'.

Mende na Ua la Valentine

Tukio hilo limepewa jina la "Cry Me a Cockroach" ikimaanisha 'ning'ate mimi Mende' ambapo wataruhusiwa hata wale ambao wapenzi wao wa zamani hawaishi Jijini Texas na Marekani kwa ujumla.

Kwa wale ambao wapenzi wao wa zamani walikuwa ni wabaya zaidi kwao au wakatili, watatakiwa kulipia Dola 20 sawa na Sh. 46,206 ili kupewa panya na kuwapa majina ya wapenzi wao wa zamani kisha kuwalisha wanyama.

Hiyo itakuwa ni kwa mara ya kwanza kwa kituo hicho kufanya tukio la aina hiyo ambalo limezua hisia za mshangao na kuvutia kwa watu mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine