Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jinsi ya kuishi na mpenzi uliyempenda kimuonekano

Ijumaa , 26th Apr , 2019

Kuna namna nyingi ambazo wapenzi hukutana katika kizazi cha hivi sasa tofauti na kizazi cha miaka ya nyuma. 

Picha ya wapenzi

Kutokana na maendeleo makubwa ya teknolojia na utandawazi, hivi sasa wapenzi hukutana katika mitandao na hata katika mazingira mengine ya nje kama sehemu za starehe na za usafiri.

Katika kulizungumzia hilo, Mtaalam wa Masuala ya Mahusiano, Aunt Sadaka, katika kipindi cha Dadaz cha EATV ameeleza kuwa kinachopelekea mtu kumpenda mwenzie pasipo kuvutiwa naye ni matamanio ya nafsi.

"Wengi huwa tunapata mhemko tunapomuona mtu na moyo unadunda, tunadhani yale ndiyo mapenzi, yale huwa ni matamanio tuu. Tunaangukia katika mtazamo wa nje, kwa kuona jinsi mtu anavyoongea lakini kiukweli tunachonkwenda kuishi nacho sio ule muonekano, bali unakwenda kuishi na tabia ya mtu", amesema Aunt Sadaka.

Mtazame hapa akizungumzia zaidi suala hilo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava