Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jogoo ashinda kesi na kulipwa fidia

Ijumaa , 6th Sep , 2019

Jogoo mmoja aliyejulikana kwa jina la Maurice mwenye miaka minne, ameshinda kesi iliyokuwa inamkabili nchini Ufaransa.

Jogoo

Jogoo huyo alikuwa anashtakiwa na majirani zake kwa kuleta shida na usumbufu wa kupiga kelele, wakati wa asubuhi huku wakitaka wahame katika maeneo waliopo.

Mahakama imeamuru Jogoo huyo alipwe fidia ya Euro 1,103 sawa na shilingi Milioni 2 za kitanzania kama usumbufu, ambao ulisababishwa kutoka kwa majirani ambao walianza kumshtaki kuanzia mwaka 2017.

Mwanasheria wa Jogoo Maurice amesema, Kuku ni ndege asiye na hatia ni jambo la kipuuzi kuona watu wanamshtaki kutokana na alivyofanya.

Aidha mmiliki wa Jogoo huyo amesema ushindi wa kesi alioupata dhidi ya Jogoo wake ni ushindi wa kila mtu, na atakuwa ni mfano wa viumbe wengine duniani kote.

Pia uongozi wa juu nchini Ufaransa umesema viumbe kama Jogoo wanatakiwa wapewe heshima na wawekwe katika nyumba ya makumbusho kwani anawakilisha nembo ya taifa lao.

Wanyama na wadudu wengine walioshtakiwa kuhusu suala la kupiga kelele nchini Ufaransa ni Mbuzi, Ng'ombe, Nzige (balale) pamoja na kengele ya kanisani.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava