Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Namthamini 2021 yazinduliwa rasmi

Ijumaa , 28th Mei , 2021

Ikiwa leo ni Siku ya Hedhi Salama Duniani, East Africa Television na East Africa Radio imezindua kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2021, tayari kwa kukusanya taulo za kike (pedi) na kuzigawa kwa wanafunzi wa kike wenye uhitaji waliokatika mazingira magumu katika maeneo mbalimbali nchini.

Balozi wa Kampeni ya Namthamini Deogratius Kithama akipokea mchango wa pedi kutoka kwa Devotha Mkwawa

Akiongea kupitia kipindi cha DADAZ ambapo uzinduzi umefanya rasmi mtangazaji wa kipindi hicho Bhoke ameeleza mafanikio makubwa ya kampeni hiyo ambayo kwa mara ya kwanza ilianza mwaka mnamo mwaka 2017.

Mtangazaji Bhoke

''Tangu kampeni ya Namthamini NasimamaNaye ianze mwaka 2017, East Africa Television na East Africa Radio zimefanikiwa kugawa pedi zaidi ya 40,000 ambazo zimewasaidia wanafunzi zaidi ya 10,000 nchini kote,'' ameeleza Bhoke.

Aidha, moja ya wazalishaji wa pedi ambao wamekuwa wakishirikiana na East Africa Television na East Africa Radio kwa kiasi kikubwa katika kufikia lengo, kampuni ya Keys Pads kupitia mwakilishi wake Heris Mtui wamesema kwa sasa suala la pedi lipo wazi zaidi ukimya umeshavunjwa.

Heris Mtui kutoka Keys Pads

''Unajua wakati kampeni ya Namthamini inaaza mambo hayakuwa kama leo, kiukweli tumefanikiwa sana kuvunja ukimya na hata dukani huwezi kukuta tena pedi zinafichwa badala yake zinawekwa kama bidhaa za mbele kabisa,'' amesema Mtui.

Msanii Madee ni miongoni mwa wageni kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Namthamini

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu