Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichokuwepo nyuma ya Monalisa na Amina Chifupa

Ijumaa , 5th Jun , 2020

Muigizaji wa BongoMovie Monalisa, amefunguka kuhusu kushea mwanaume na marehemu Amina Chifupa, ambaye alikuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM, na mwanaume mwenye alikuwa ni marehemu Mohamed Mpakanjia.

Msanii wa filamu Yvonne Cherrie "Monalisa"

 

Akipiga stori kwenye show ya SalamaNa ya East Africa TV inayoruka kila siku ya Alhamisi kuanzia 3:00 usiku amesema  "Mimi na Amina Chifupa tulikuwa marafiki  wazuri, yeye alikuwa anasoma Kisutu mimi Zanaki ila tulikuwa tunakutana sana, kilichotukutanisha zaidi ni Mohamed Mpakanjia,  na mimi binafsi nilianza mahusiano na Mpakanjia kabla ya yeye".

"Baadaye nikaja kusikia ninayetembea naye ni mume wa mtu ila hakuwahi kuniambia kama ana mke, nikaanza kumpunguza na kumpotezea taratibu japo ilikuwa ngumu, halafu nikasikia anatoka na Amina Chifupa na kuna siku Amina alinitafuta akaniambia kwamba hakujua kwamba mimi nilikuwa naye kabla yake" ameongeza.

Aidha Monalisa ameendelea kusema  "Siku anayofariki Amina Chifupa, mimi nilikuwa nimetoka kujifungua mtoto wangu wa pili kwahiyo sikuweza kwenda msibani, iliniuma sana kwa sababu alikuwa ni mchapakazi".

Marehemu Amina Chifupa alifariki Juni 26, 2007, ila aliolewa na mfanyabiashara Mohamed Mpakanjia ambaye naye alifariki mwezi Septemba 2009.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu