Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Makanisa yawe gereji'' - Goodluck Gozbert

Ijumaa , 6th Sep , 2019

Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Goodluck Gozbert amesema kuwa, Nyumba za Ibada hazipaswi kuwa kama Ofisi za Serikali, badala yake ziwe kama Gereji ambazo zitakuwa tayari kumpokea mtu wa aina yoyote ile na kumbadilisha kuweza kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.

Goodluck Gozbert

Goodluck ameyabainisha hayo leo Septemba 06, 2019 katika kipindi cha DADAZ cha East Africa Television.

''Inabidi tujue utofauti kati ya ofisi za Serikali na Kanisa, Ofisi zote za kiserikali ukienda kuna namna ya uvaaji wao, namna ya muonekano,  unyoaji wao, usipozifuata hizo utatoka, isifike hatua kanisa likawa kama Serikali,  hapana iwe gereji ya mtu anakuja vile alivyo unamuambia karibu sana mfundishe neno la Mungu ataona hivi nilivyo mbona nazingua atabadilika na roho wa Mungu atamsaidia kubadilika'' amesema Goodluck.

Akizungumzia namna ambavyo uimbaji wake umeweza kubadili maisha ya vijana wengi,  Goodluck amesema kuwa hana kitu chochote kinachowafanya vijana wamrudie Mungu bali maisha yake ndiyo hamasa kwa watu wengine kubadilika na kumfuata Mungu. 
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava