Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama Terry awafungukia vijana wanaowaoa wazee

Jumanne , 25th Feb , 2020

Mshauri wa masuala ya ndoa Mama Terry, ametoa onyo kwa wanawake ambao wanaolewa na wanaume waliowazidi umri kwa kusema watakutana na changamoto nyingi sana kwenye ndoa hiyo.

Picha ya Mama Terry

Akipiga stori na Big Chawa kwenye show ya Planet Bongo, inayoruka kila siku za Jumatatu-Ijumaa kupitia East Africa Radio, kuanzia 7:00 mchana hadi 10:00 jioni, Mama Terry ameshangaa kuona watu wanavyopata tabu pale mwanaume mdogo anapomuoa mwanamke ambaye amemzidi umri.

"Sasa hivi hata watu wazima wanaitwa baby, halafu nashangaa kijana anapooa mtu mzima inakua stori, ila mzee kuoa binti mdogo ni jambo la kawaida, kama unataka kufaidi ndoa lazima muwe watu wenye levo sawa, ambapo mtaweza kucheka na kutaniana, wakina mama wazee kuolewa na vijana kama wa miaka 24 watapata shida kwa sababu yeye kashamaliza mambo mengi ila kijana ndiyo kwanza anakuwa" ameeleza Mama Terry.

Aidha Mama Terry amewazungumzia wale wenye tabia za kupost na kuvujisha picha au video zisizo na maadili mitandaoni kwa kusema, "Nawashangaa  vijana wanaopost picha za utupu au ngono mitandaoni, kwanza kila mtu anao utupu wake labda wajee na kitu kipya, kama ana sehemu za siri tatu ndiyo tutashangaa".

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa