Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambo 5 ya kufanya kwa mtu aliyeungua moto

Jumanne , 14th Jul , 2020

Mara nyingi katika matukio ya ajali huwa kunakuwa na uhitaji mkubwa wa huduma ili kuepusha kutokea kwa madhara zaidi pamoja na kuepusha vifo.

Jeraha la moto

Moja ya matukio hayo ya ajali ni pamoja na moto ambao huwa unapelekea watu kuungua. Kupitia kipindi cha Dadaz cha EATV, Dr. Meshack Kinyuli ametoa elimu kuhusiana na mambo muhimu ya kufanya kwa mtu aliyeungua kwa moto.

Dr. Kinyuli ameanza kwa kufafanua nini maana ya jeraha la moto ambapo amesema jeraha la moto ni pale ambapo mwili hasa eneo la ngozi linakuwa na joto kuzidi kawaida, na kuyagawa majeraha ya moto kutokana na kuungua, kuunguzwa na maji au kemikali, umeme na mvuke.

"Mambo ya kuyazingatia kwa mtu aliyepatwa na jeraha lolote la moto, kwanza ni kuondoa moto eneo la tukio, pili ni kuondoa mavazi yake na vitu vingine vilivyoushika mwili wake kama mkanda na nguo lakini kama vitu hivyo vimeshikana kabisa na mwili visitolewe bali asubiriwe daktari", amesema.

"Mengine ya kuzingatia ni kuhakikisha anapumua vizuri na siwekewe mto kichwani kwani itampa ugumu kupumua. Pia mtu anayeungua moto moja kwa moja hapaswi kukimbia bali agalegale kwenye mchanga na hii ni kwa moto wa kawaida pamoja na kufunika eneo athirika kwa kitambaa chenye ubaridi", ameongeza.

Tazama hapa amelezo yote kutoka kwa Dr. Kinyuli.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu